Mei: Kanisa la Afrika, Mbegu ya Umoja

Mwezi huu, tuombe ili Kanisa la Afrika kupitia ahadi za wanajumuiya wake,liwe ni mbegu ya umoja miongoni mwa watu wake na alama ya matumaini kwa bara hili.

Pope Francis – Mei 2019

Migawanyiko ya lugha za makabila na migawanyiko ya makabila Afrika inaweza kudhoofishwa kwa kukuza umoja ndani ya tofauti walizonazo.
Nataka kuwashukuru masista watawa, mapadri, walei na wamisionari kwa kuanzisha majadiliano na suluhu miongoni mwa sekta mbalimbali za jamii ya kiafrika.
Mwezi huu, tuombe ili Kanisa la Afrika kupitia ahadi za wanajumuiya wake,liwe ni mbegu ya umoja miongoni mwa watu wake na alama ya matumaini kwa bara hili.

Credits

Pope’s Worldwide Prayer Network

Campaign title:

The Pope Video – May 2019: The Church in Africa, a Seed of Unity.

Idea and project coordination:

La Machi

Creative agency:

La Machi

Pope Francis shooting:

Centro Televisivo Vaticano

Production house:

Adhoc

Sound mixing & music:

Índigo Music Design

Benefactors

Benefactors:

Índigo Music Design

In collaboration with:

Centro Televisivo Vaticano

Media partners:

Getty Images Latam
Aleteia
Ecclesia TV

Thanks to:

Core Values
Doppler Email Marketing
Abobo Parish, Côte d’Ivoire
Fr Apollinaire SJ
Xavières Sisters
Aid to the Church in Need

With the Society of Jesus

adminMei: Kanisa la Afrika, Mbegu ya Umoja