Tusali kuwaombea wahamiaji, wakimbizi na wale wanaoathirika na vita, kwamba haki yao ya kupata elimu, ambayo ni muhimu katika kujenga ulimwengu wenye utu zaidi, daima iheshimike.
Tuwaombee wazazi wote wanaoomboleza kwa kufiwa na mtoto wa kiume au wa kike wapate usaidizi katika jamii yao, na wapate amani ya moyo kutoka kwa Roho wa Faraja.
Tusali kuliombea Kanisa ili liendelee kudumisha mtindo-maisha wa kisinodi kwa kila namna, kama ishara ya uwajibikaji pamoja, na uendelezaji wa ushiriki, ushirika na umisionari mmoja kwa mapadre, watawa na walei.
Tusali ili kila mmoja wetu asikilize kwa moyo kilio cha Dunia yetu, na cha wahanga wa majanga ya kimazingira na mabadiliko ya hali ya hewa, tukijitoa binafsi kutunza ulimwengu tunamoishi.
Let us pray for those people on the margins of society in subhuman living conditions, that they may not be neglected by institutions and never be cast out.
Let us pray for the Church, that she may adopt listening and dialogue as a style of life at every level, allowing herself to be guided by the Holy Spirit towards the world’s peripheries.