Tusali kuliombea Kanisa ili liweze kupokea tamaa na mashaka ya vijana wale wanaojisikia kuitwa kuishi utume wa Yesu maishani, kwa njia ya maisha ya kikuhani au maisha ya kitawa.
Tusali kuwaombea wahamiaji, wakimbizi na wale wanaoathirika na vita, kwamba haki yao ya kupata elimu, ambayo ni muhimu katika kujenga ulimwengu wenye utu zaidi, daima iheshimike.
Tusali ili Jubilei iliyo mbele yetu ituimarishe katika imani yetu, ikitusaidia kumtambua Kristo Mfufuka katika ya maisha yetu, akitufanya kuwa mahujaji wa tumaini la Kikristo.
Let us pray for those people on the margins of society in subhuman living conditions, that they may not be neglected by institutions and never be cast out.
Let us pray for the Church, that she may adopt listening and dialogue as a style of life at every level, allowing herself to be guided by the Holy Spirit towards the world’s peripheries.